ROSI MUHANDO Video Mp3 3GP Mp4 HD Download - Wap

admin
,
  
DOWNLOD

admin
,

Roma mkatoliki viva roma viva akitoa makavu kwa CCM 2015

admin
,


SUKARI iliyoagizwa na serikali kutoka nje kwa ajili ya kujazia uhaba wa sukari kwa mfumo rasmi, imewasili nchini na tani takribani 12,000 zitaanza kusambazwa leo katika maeneo mbalimbali nchini.
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na waandishi wa habari nyumbani kwake jijini Dar es Salaam jana, alisema kuna upungufu wa sukari kwa mfumo rasmi, lakini serikali ilichukua hatua ya kuhakikisha inapatikana sukari kufidia uhaba huo na kuwa suala la sukari lisionekane kuwa tatizo kubwa.
“Sukari ipo lakini sio kwa kiwango halisi kinachopaswa kuwepo, lakini kama wafanyabiashara wangefanya biashara ya kuuza sukari kwa utaratibu mzuri uliowekwa wangekwenda sambamba na mfumo rasmi wa kuagiza sukari kujazia uhaba uliopo,” alisema Majaliwa.
Kwa mujibu wa Waziri Mkuu, kiuhalisia zinahitajika tani 420,000 lakini uwezo wa viwanda vya ndani kuzalisha ni tani 320,000 kwa hiyo kuna upungufu wa tani 100000 na ndio maana serikali imelazimika kuagiza nje kufidia upungufu huo.
Alisema mkakati wa serikali ni kuimarisha viwanda vyake vya kuzalisha sukari, sambamba na kudhibiti sukari ya nje kuvifanya viwanda vya ndani vinakuwa na uwezo wa kuzalisha sukari ya kutosha pamoja na kuhamasisha wananchi kuwa na utamaduni wa kutumia bidhaa yao ya ndani.
Tani 11,957 zatua “Lakini tumechukua hatua kwa sasa kuagiza sukari nje tani 70,000 kujazia upungufu huo kwa sababu kwa sasa hivi viwanda vyetu havina uwezo wa kuzalisha sukari ya kutosha, vipo vingine vinahitaji kuboreshwa ama kukarabatiwa kabla havijaanza kazi,” alieleza Waziri Mkuu.
Alisema katika kujazia upungufu huo, tayari serikali imeingiza tani 11,957 ambazo zimeshawasili na zitaanza kusambazwa leo kikanda pamoja na kiwango cha tani kwenye mabano mikoa ya Kaskazini (tani 2,000), Kanda ya Ziwa (tani 3,000), Kusini (2,000), Nyanda za Juu Kusini (2,000) na Kanda ya Kati (2,000).
Alisema tani nyingine 24,000 za sukari, zinatarajiwa kuwasili Ijumaa hii na kwamba hadi kukamilisha taratibu na kutoka bandarini itakuwa kama Jumapili, hivyo zinaweza kusambazwa kuanzia Jumatatu ijayo.
Waziri Mkuu alisema pia tani nyingine 20,000 zitawasili baadaye mwishoni mwa mwezi huu au mapema mwezi ujao na kwamba serikali inaamini upungufu uliokuwepo, utakuwa umejaziliziwa vizuri wakati ikitarajia ifikapo mwezi Julai viwanda vya ndani vitakuwa katika hali nzuri ya kuanza uzalishaji.
“Watanzania wasiwe na wasiwasi kuhusu uhaba wa sukari uliojitokeza hivi karibuni kwani umesababishwa na watu wachache. Rais amekuwa makini kuchukua hatua mbalimbali kukabiliana na uhaba huo ikiwa ni pamoja na kuagiza waliohodhi bidhaa hii wakamatwe na sukari isambazwe,” alisema

Serikali yaingiza sukari sokoni

admin
,

MWENYEKITI wa Kamati ya Usajili ya klabu ya Simba, Zakaria Hans Poppe amesema baada ya kushindwa kutimiza malengo ya kutwaa ubingwa, wanaangalia mbele na kujipanga upya kwa msimu ujao.
Awali, moja ya malengo makubwa waliyojiwekea klabu hiyo ni kuchukua taji la ligi, lakini mambo yalikuwa tofauti kwao, wakizidiwa kete na watani wao wa jadi, Yanga.
Akizungumza na gazeti hili hivi karibuni, alisema wataangalia namna ya kuwapunguza wachezaji mizigo, na kusajili nyota watakaokuwa na msaada kwa timu ili msimu ujao ije kivingine.
Mwenyekiti huyo alisema huenda wakaachana na baadhi ya wachezaji wa kigeni ambao walikuwa na mgomo baridi hivi karibuni na hata kugomea safari ya Songea kuumana na Majimaji katika mchezo wa Ligi Kuu, ikidaiwa walikuwa wanashinikiza kulipwa mishahara yao.
Hata hivyo, alisema hatima yao itategemea na maamuzi ya kikao chao cha kamati ya utendaji kitakachoketi siku za hivi karibuni.
Simba iliyotwaa ubingwa wa Tanzania Bara mara 18 ikizidiwa na Yanga iliyotwaa mara 26, ilipania ubingwa msimu huu, lakini ikajikuta inapoteza mwelekeo katika hatua za mwisho za ligi, hasa baada ya kudundwa 1-0 na Mwadui FC ya Shinyanga.
Mpaka sasa, Simba iliyotwaa ubingwa wa Bara mara ya mwisho katika msimu wa 2011/2012 iko katika nafasi ya tatu ikiwa na pointi 62 baada ya kucheza mechi 29 na imebakiwa na mchezo mmoja dhidi ya JKT Ruvu ya Pwani. Azam ni ya pili, ikiwa na pointi 6

Simba kupunguza wachezaji ‘mizigo’

admin
,
Na Selemani Abeid, Shinyanga WAMEKAA! Baada ya kuhangaika kwa muda mrefu, hatimaye Simba wamefanikiwa kuongoza Ligi Kuu Tanzania Bara kwa mara ya kwanza baada ya jana kuichapa Stand United kwa bao 2-1 mchezo uliopigwa Uwanja wa Kambarage, Shinyanga. Bao la Simba lililowafanya wakae kileleni liliwekwa kimiani na Hamis Kiiza dakika ya 34, baada ya kupata pande safi kutoka kwa Ramadhan Kessy. Hii ilitokana na Simba kugongeana pasi safi, kabla ya kumkuta Kessy aliyemimina krosi maridadi kwa Kiiza aliyemchungulia golikipa Frank Muwonge na kumtungua. Dakika ya 51, Kiiza kwa mara nyingine aliifungia Simba bao la pili kutokana na juhudi zake binafsi. Hilo linakuwa bao la 16 kwa Kiiza, ambaye sasa ndiye anayeongoza kwa mabao akifuatiwa na Amisi Tambwe wa Yanga aliye na mabao 14. Ushindi huo, umeifanya pia Simba ikae kileleni mwa msimamo wa Ligi Kuu ikiwa na pointi 45, wakifuatiwa na Yanga walio na pointi 43, huku Azam ikiwa na pointi 44. Azam wanaweza kusogea nafasi ya pili kama watashinda katika mchezo wa leo dhidi ya Coastal Union utakaopigwa kwenye Uwanja wa Mkwakwani, Tanga. Mchezo huo ulikuwa na kosakosa kadhaa, lakini nafasi ambazo Simba watazijutia ni ile ya dakika ya 49, pale Ibrahim Hajib aliposhindwa kufunga akiwa amebaki na lango. Kiiza pia alipoteza nafasi nzuri ya kufunga dakika ya 37, baada ya kupewa pasi safi na Said Ndemla na kushindwa kulenga lango. Stand United: Frank Muwonge, Revocatus Richard, Seleman Mrisho, Nassor Masoud, David Osman, Jacob Massawe, Pastory Athanas, Amri Kiemba, Elius Maguli, Seleman Salembe, Vitalis Mayanga. Simba: Vicent Angaban, Hassan Kessy, Emery Nimubona, Abdi Banda, Juuko Murshid, Justice Majabvi, Mwinyi Kazimoto, Jonas Mkude, Hamis Kiiza, Ibrahim Ajib, Said Ndemla.

Simba yakaa kileleni

admin
,

 Rashford

Meneja wa timu ya taifa ya Uingereza Roy Hodgson amemtaja chipukizi wa Manchester United Marcus Rashford kwenye kikosi chake cha wachezaji watakaocheza Euro 2016.
Rashford, 18, alianza kuchezea timu kuu ya Uinted kipindi cha pili cha msimu lakini aliwika mara moja.
Alifunga mabao manne mechi zake mbili za kwanza na aliwafungia mabao saba katika mechi 16 tangu aanze kuwachezea 25 Februari.
Hodgson ametaja kikosi cha wachezaji 26, ambacho kitapunguzwa baadaye hadi wachezaji 23.

Rashford atajwa kikosi cha Uingereza cha Euro

admin
,

How to follow:
Listen on BBC Radio 5 live and BBC Radio Sheffield and BBC Radio Humberside; text commentary on the BBC Sport website

Eldin Jakupovic looks set to make his 13th appearance for Hull City

admin
,

The face for fourth is between United, City and West Ham.
Manchester United revitalised their push for Champions League football with a derby win over City on Sunday.
A point behind City in fourth, they’ve got eight games to leap-frog Manuel Pellegrini’s side and fight off the challenge of West Ham.
Louis van Gaal insists he’s still confident of securing a top-four finish because United still have five home games to come. Five of City’s last eight are away from the Etihad Stadium.
United’s best run in the Premier League this season is three straight wins over Liverpool, Southampton and Sunderland in September. It’s likely they will have to better that between now and the end of the season to earn a place in next season’s Champions League.

Man Utd, Man City and West Ham are all in a fight to finish fourth and secure a place in the Champions League.

admin
,

Meet 'Squishy Fingers': Flexible Robot Advances Undersea Research

69
 
23
 
575
Submit
3
Reddit

Editor's Recommendations

Author Bio
laura geggel

Laura Geggel

As a staff writer for Live Science, Laura Geggel covers general science, including the environment and amazing animals. She has written for the Simons Foundation, Scholastic, Popular Science and The New York Times. Laura grew up in Seattle and studied English literature and psychology at Washington University in St. Louis before completing her graduate degree in science writing at NYU. When not writing, you'll find Laura playing Ultimate Frisbee. Follow Laura on Google+.
Laura Geggel on
Contact Laura Geggel by EMail
 

admin
,
Next PostNewer Posts Previous PostOlder Posts Home